KUONDOKANA NA UMASIKINI...
"Kuondokana na umasikini si
suala la kutoa msaada wa pesa,ni suala la kutenda haki.Kama ilivyo kwa utumwa
na ubaguzi wa rangi,umasikini si wa asili.Unatengenezwa na mtu na unaweza
kuondoshwa kupitia matendo ya wanadamu."-NELSON MANDELA.
ELIMU:
Mwl.Julius Kambarage Nyerere |
- Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliwahi kutoa mfumo wa kuwapatia pesa wananchi hasa masikini, alisema "Njia nzuri ya kuwapatia pesa masikini,kila familia ni kuelimisha watoto wao kwa kuwapa elimu bora.Hakuna namna nyingine,uongo tu, namna nyingine mtapata taabu tu...Serikali
haichukui pesa hivi na kusema masikini njooni! halafu inawapa pesa
hivi, hakuna! Serikali ya wapi inafanya hivi?...Mwl.J.K.Nyerere.
Nelson Mandela Nelson Mandela alieleza kishujaa kuwa "Elimu ni silaha pekee kuliko zote unayoweza kuitumia kubadilisha maisha".
William Yeats - "Elimu si sawa na kuijaza ndoo,bali ni kama kuwasha moto"-William Yeats.
- "Kujifunza
kwa kuhusianisha mawazo na uhalisia wa mambo au vitu vilivyotuzunguka
ni njia nzuri ya kujipatia ujuzi na maarifa, pia kumbukumbu ya muda
mrefu" -Henry Kazula.
- AMANI NA UPENDO:
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni