inspire

inspire

Lebo

AFYA (8) AJIRA (5) BIASHARA (39) ELIMU (14) MAHUSIANO (2) MALEZI (16) MAZINGIRA (12) SAIKOLOJIA (48) VIJANA (7)

Business registration

Green Consulting

business consultancy

business consultancy

Business consulting-2

Business consulting-2

Professional Consulting

PDC

Swahili translator

Swahili translator

TANGAZO-KITABU

E-BOOK: MTAZAMO WAKO NI UPI?

TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- .... TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- ....

TANGAZO TUWEZESHANE

TANGAZO TUWEZESHANE

DARDY'S INVST-20/10/2017

DUNIA IKUONE

DUNIA IKUONE

TUFAHAMU

Henry Kazula
Henry Kazula ni mwanzilishi na mmliki wa kampuni -“Jielimishe Kwanza Social Enterprise” iliyotokana na jina la blog hii-Jielimishe Kwanza inayojihusisha na kutoa mafunzo ya kushawishi mabadiliko ya pamoja ndani ya jamii kwa vijana na wadau mbali mbali katika nyanja za mazingira, elimu, ajira, biashara, ujasiriamali na ujasiriamali jamii.
Kazula mekuwa mstari wa mbele kuhamasisha mtazamo chanya katika nyanja za ajira, elimu, mazingira na biashara kupitia makala mbali mbali zilizosheheni ndani ya Blog hii maarufu iliyojinyakulia nafasi ya pili kitaifa kwa mwaka 2013 kama The Best Inspirational Blog in Tanzania”. 
Pia, Kazula ni mjasiriamali, mwandishi wa blog hii, pia kitabu Mtazamo Wako Ni Upi? kilichovutia wasomaji wengi na Mhariri mkuu wa blog hii, mwelimishaji jamii, mhamasishaji wa hadhara na mtaalam wa masuala ya saikolojia ya malezi na mazingira, amekuwa bega kwa bega katika shughuli mbali mbali za maendeleo ya vijana na jamii kwa ujumla hasa alipokuwa akishirikiana na mashirika yasiyo ya kiserikali kama; “Youth for Africa (YoA)” na “Global Platform-Actionaid Tanzania” yote ya jijini Dar es salaam katika ujasiriamali na ujasiriamali jamii, pia kuibua mbinu za pamoja kutatua changamoto za ukosefu wa ajira kwa vijana.
Hayuko nyuma sana katika kujiendeleza kielimu, mwanzoni mwa mwaka 2014 alianza kufanya shahada ya uzamili ya Sayansi ya Mazingira yenye vionjo vya Biashara na Ujasiriamali katika Chuo kikuu cha Sayansi naTeknolojia-Nelson Mandela, Arusha-Tanzania.
Mawasiliano:
Simu ya mkononi. +255 754 572 143
Barua pepe: jielimishekwanza@gmail.com
__________________________________________________________________________________

Emmanuel C. Zongwe
Emmanuel C. Zongwe ni mtaalam mwenye shahada ya kwanza katika masuala ya "mahusiano mahali pa kazi" (Labour relations). Zongwe anafanya kazi na Tanzania Plantation and Agricultural Workers Union (TPAWU). Pia anashirikiana bega kwa bega na Jielimishe Kwanza Blog akiwa ni muelimishaji wa warsha na mwandishi wa makala zenye kulenga masuala na changamoto mbali mbali za kazi na ajira.
Mawasiliano:
Simu ya mkononi: +255 (0)755223697
                         +255 (0)717058045
Barua pepe:  ezongwe@yahoo.com
___________________________________________________________________________________
                                                                                                                
Francis Ndemela
Francis Ndemela ni mtaalamu wa Mazingira mwenye Shahada ya kwanza ya Jiografia na Mazingira (Geography and Environmental Studies) ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam. Kwa sasa Francis anafanya kazi kama Mratibu wa kitengo cha Mazingira na uelimishaji kwenye kampuni hii ya "Jielimishe Kwanza Social Enteprise."

Mawasiliano
Simu ya mkononi: +255 718 146 204/ +255 684 345 034










_________________________________________________________________________________
Saumu Issa Rajabu
 
Ms. Saumu currently is working with “Jielimishe Kwanza Social Enterprise” as a part time worker as an Event and Training Coordinator. She previously worked with the “Ignite the Youth in Africa” as Volunteer from Tanzania to inspire the future generation of African Youth, currently Saumu serve as an “Alumni of Ignite the Youth.”   

Ms Saumu is holding a bachelor degree in Community development with bias in Management of community development programs from “Tengeru Institute of Community Development” in Arusha. She is very passionate about youth and women in empowerment issues, which gives her an inspiration of whom she should be every day, serving others, uplifting others, and inspiring others. Her best ambitious is being in a position where she can be a role model to other ambitious youth in Tanzania, Africa and around the word. She believe that the only direction which can make her dreams come true is through networking and engaging in different seminars, events conferences, working hard and being confidence towards positive direction of her career.

    
                                                           Contact: +255 655 990 792
Email: saumuisser@yahoo.com

_________________________________________________________________________________
   

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni