inspire

inspire

Lebo

AFYA (8) AJIRA (5) BIASHARA (39) ELIMU (14) MAHUSIANO (2) MALEZI (16) MAZINGIRA (12) SAIKOLOJIA (48) VIJANA (7)

Business registration

Green Consulting

business consultancy

business consultancy

Business consulting-2

Business consulting-2

Professional Consulting

PDC

Swahili translator

Swahili translator

TANGAZO-KITABU

E-BOOK: MTAZAMO WAKO NI UPI?

TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- .... TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- ....

TANGAZO TUWEZESHANE

TANGAZO TUWEZESHANE

DARDY'S INVST-20/10/2017

DUNIA IKUONE

DUNIA IKUONE

Ijumaa, 12 Agosti 2016

SIKU YA VIJANA DUNIANI 2016

“Activista Tanzania” Yawakutanisha Vijana Jjijini Dar es salaam Kujadili Jinsi Ya Kuondokana Na Umasikini Na Jinsi Ya Kuwa Na “Uzalishaji Endelevu Na Matumizi Yenye Tija, hii ikiwa ni kauli mbiu ya mwaka 2016 kwa siku ya vijana Duniani.



Ndugu Hatibu Kilenga, Mwenyekiti wa Activista Tanzania akifafanua jambo kuhusu ushiriki wa vijana katika maendeleo.(Picha na Activista Tanzania)



Vijana wakifuatilia mada. (Picha: Activista Tanzania)

Kipekee, kwa kuzingatia mchango kwa vijana na nguvu yao katika jamii, Henry Kazula- Mkurugenzi wa kampuni ya “Jielimishe Kwanza” alipata fursa ya kuhudhulia tukio hilo na kuwa miongoni mwa wawezeshaji kwa kutoa mada kuhusu lengo namba 12 kati ya 17 la Maendeleo Endelevu: “Matumizi Endelevu na Uzalishaji wenye tija” (Sustainable Consumption and Production).


Henry Kazula- Mkurugenzi wa kampuni ya “Jielimishe Kwanza” akitoa mada kuhusu “Matumizi Endelevu na Uzalishaji wenye tija”-lengo namba 12/17 Maendeleo endelevu ya dunia 2030.(Picha: Activista Tanzania)


Washiriki wote wakiwa katika picha ya pamoja.(Picha na Activista Tanzania).

Imetolewa na Jielimishe Kwanza Blog

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni