inspire

inspire

Lebo

AFYA (8) AJIRA (5) BIASHARA (39) ELIMU (14) MAHUSIANO (2) MALEZI (16) MAZINGIRA (12) SAIKOLOJIA (48) VIJANA (7)

Business registration

Green Consulting

business consultancy

business consultancy

Business consulting-2

Business consulting-2

Professional Consulting

PDC

Swahili translator

Swahili translator

TANGAZO-KITABU

E-BOOK: MTAZAMO WAKO NI UPI?

TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- .... TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- ....

TANGAZO TUWEZESHANE

TANGAZO TUWEZESHANE

DARDY'S INVST-20/10/2017

DUNIA IKUONE

DUNIA IKUONE

Ijumaa, 10 Januari 2014

MTAZAMO: UNAVYOJIONA, UNAVYOWAONA NA VILE WANAVYOKUONA WENGINE…

-->
-->
“Person perception refers to the different mental processes that we use to form impressions of other people.” Michal Zacharzewski

W
atu wengi kwa maeneo tofauti wamekuwa wakiamini sana vile wanavyojiona na kujichukulia hasa katika uwezo wa asili wa kupambanua mambo na utendaji. Kujiaminisha huko kunatokana na hisia zao za ndani zinazoendeshwa na dhamiri zao.
Picha na www.elements2lead.com
Mtazamo wa kisaikolojia unadhihirisha kuwa tunavyojiona kwa nje kwa kulinganisha na utendaji wetu wa kila siku ni tofauti na wengine wanavyotuona na kutuchukulia.
Pia tunavyowaona wengine na kujiaminisha kuwa ni uhalisia wao  unakuwa uhalisia wetu kuwahusu wao.Soma hii kujua zaidi kupitia http://jielimishekwanza.blogspot.com/2013/12/mtazamo-taswira-unayowajengea-watu.html
Mwanasaikolojia Kendra Cherry, kupitia http://psychology.about.com/od/socialpsychology/a/person perception.htm anaeleza kuwa kuna hali tatu za kimuonekano zinazopelekea kuwachukulia wengine; tabia ya mtu unayemtazama, mazingira ya tukio na tabia yako mwenyewe.
Tunaweza kujiona tuna kipaji au uwezo fulani na kulizika, lakini kwa upande mwingine bila kujijua tuna uwezo mwingine mkubwa uliojificha ambao hatuuoni ila wengine wanauona.
Tufanye nini sasa ili kujua mtazamo wa wengine kuhusu tulivyo na uhalisia wetu?
Fuatana nasi katika makala ijayo ili ujue upande wa pili unatuchukuliaje ili utumie fursa hiyo kutambua uwezo wako mwingine na kujiongezea uthamani mbele za watu.

Imetayarishwa na kutolewa
Jielimishe Kwanza!


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni