inspire

inspire

Lebo

AFYA (8) AJIRA (5) BIASHARA (39) ELIMU (14) MAHUSIANO (2) MALEZI (16) MAZINGIRA (12) SAIKOLOJIA (48) VIJANA (7)

Business registration

Green Consulting

business consultancy

business consultancy

Business consulting-2

Business consulting-2

Professional Consulting

PDC

Swahili translator

Swahili translator

TANGAZO-KITABU

E-BOOK: MTAZAMO WAKO NI UPI?

TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- .... TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- ....

TANGAZO TUWEZESHANE

TANGAZO TUWEZESHANE

DARDY'S INVST-20/10/2017

DUNIA IKUONE

DUNIA IKUONE

Jumatano, 14 Agosti 2013

VIJANA NA MAISHA:KWA SIFA HIZI, KIJANA MWENYE UMRI WA MIAKA 18-35 NI TAJIRI!

-->
Kupitia makala kuhusu vijana na maisha-KWA HIZI SIFA 10, KIJANA MWENYE UMRI WA MIAKA 18-35 UNAKARIBIA KUWA TAJIRI! Nilieleza sifa hizo kwa kuzingatia mifano ya matajiri vijana maarufu duniani, nilitoa mfano wa mjasiriamali pia mwanzilishi mwambata wa mtandao wa kijamii-Facebook Mark Elliot Zuckerberg. Soma http://jielimishekwanza.blogspot.com/2013/07/vijana-na-maisha-kwa-hizi-sifa-10.html
Huyu ni kijana mwenzetu, Mtanzania, mjasiriamali mwenye mafanikio makubwa akiwa ni
   Patrick Ngowi, mwanzilishi na Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya          Helvetic Solar Contractors (Picha na www.bongo5.com)
mwanzilishi na mkurugenz mtendaji wa kampuni ya vifaa vya nishati ya jua iitwayo "Helvetic Solar Contractors."FUATILIA MAHOJIANO NA "GEORGE MEDIA NETWORK" KUPITIAhttp://www.georgenetwork.com/feature/exclusive_interview_with_managing_director_patrick_ngowi.html


Ufuatao ni muendelezo wa sifa hizo 10 ambazo kijana yeyote anapaswa kuzifuata kwa vitendo ili kutimiza ndoto ya kuwa tajiri.
(Sifa hizi hazipo kwa mtiririko...pia si lazima uwe nazo zote, lakini unaweza ukawa nazo chache na zikakufanya uwe nazo zote.Anza sasa kubadilika kwa vitendo!)


11.HUOGOPI KUJITOA MUHANGA NA KUPAMBANA NA HATARI (RISK TAKER)-Soma http://jielimishekwanza.blogspot.com/2013/06/vijana-na-maisha.html
 

12.UNAJARIBU KUJISHUGHULISHA NA BIASHARA TOFAUTI TOFAUTI…UKIJIFUNZA KWA MAKOSA -soma pia sifa ya 1 kupitia http://jielimishekwanza.blogspot.com/2013/06/vijana-na-maisha.html


13.UNAJITAHIDI KUHUSISHA UNACHOFAHAMU(HASA KIPAJI CHAKO) NA UTENDAJI HALISI-UNAKUWA MBUNIFU


14.UNATAMBUA UWEZO WAKO WA KUTENDA NA SI KULAZIMISHWA NA MTU MWINGINE


15.UNAJIONGOZA MWENYEWE KWA KUWA UNATAMBUA HATMA YA MAISHA YAKO IPO MIKONONI MWAKO 


16.UNASIMAMIA JAMBO(wazo la biashara) HADI KIELEWEKE, HUTAKI KUYUMBISHWA, HUJALI WATU WANASEMA NINI KUHUSU UAMUZI WAKO


17.HUOGOPI KUKATISHWA TAMAA, UNAJIAMINI NA KUSONGA MBELE

18.UNA MALENGO MAKUBWA, HURIDHIKI NA VIDOGO (soma zaidi

19.UNAANDIKA MALENGO YAKO NA KUYAFANYIA KAZI KWA MUDA ULIOJIPANGIA UKIWA NA MTAZAMO CHANYA- Soma zaidi http://jielimishekwanza.blogspot.com/2013/06/mtazamo.html

20.UNAJITAHIDI KUJIFUNZA KUPITIA WATU WALIOFANIKIWA, PIA UNATENGENEZA MTANDAO WA MAWASILIANO NA WATU HAO

Ni mtazamo tu wa Jielimishe Kwanza! kwa kuzingatia taarifa za mafanikio ya vijana.
USIKATE TAMAA…

CHUKUA HATUA YA UJASIRI KUBADILIKA!

Imetolewa na
Jielimishe Kwanza!