inspire

inspire

Lebo

AFYA (8) AJIRA (5) BIASHARA (39) ELIMU (14) MAHUSIANO (2) MALEZI (16) MAZINGIRA (12) SAIKOLOJIA (48) VIJANA (7)

Business registration

Green Consulting

business consultancy

business consultancy

Business consulting-2

Business consulting-2

Professional Consulting

PDC

Swahili translator

Swahili translator

TANGAZO-KITABU

E-BOOK: MTAZAMO WAKO NI UPI?

TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- .... TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- ....

TANGAZO TUWEZESHANE

TANGAZO TUWEZESHANE

DARDY'S INVST-20/10/2017

DUNIA IKUONE

DUNIA IKUONE

Jumanne, 14 Mei 2013

VIJANA: MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA!

UTUMIAJI WA MADAWA YA KULEVYA KWA VIJANA:

Jumanne, 14 Mei 2013

www.docbig.com
zangocweb.org
www.tkd.motivplus.hr
Kwa kipindi kirefu sana nchini Tanzania kumekuwa na taarifa kuwa vijana wengi wamejiingiza katika mkumbo wa kutumia madawa ya kulevya kama vile bhangi,mirungi, na mengineyo.


Vijana wengi wamekuwa wakiyatumia madawa hayo kwa kuwa na fikra mbalimbali, hasa wengi wakisema na kuamini  madawa hayo yanawaburudisha na kuwafanya wasahau matatizo yao kama ukosefu wa ajira na maisha magumu.

Wengine wanajikuta wakifuata mkumbo wa makundi ili wakubalike kwenye kikundi.

Madhara ya matumizi ya madawa haya yapo wazi, kila kijana na jamii kwa ujumla anayaona kutoka kwa wengine waliotumia awali...

Pia kuna kundi jingine la vijana wanatumika kubeba na kuyauza madawa hayo hatari.

Biashara hii hatari huweza kuwa kishawishi kikubwa cha kuyatumia madawa hayo na kuhatarisha afya zao.

Hii hali si njema kwa mwelekeo wa Taifa letu.Hatari kubwa ni kupungua kwa nguvu kazi ya Taifa.


Je, unafikiri nini kinasababisha vijana wengi kuendelea na matumizi ya madawa haya hatari ilihali wanajua fika madhara yake? au wengine bado hawajui madhara ya madawa hayo?

Karibu utoe maoni yako...

Imetolewa na Jielimishe Kwanza! 

                                                                                                             

Maoni 1 :

  1. kwanza hili ni janga la taifa zima kiukweli maisha yetu ka vijana yanaendesha na mihemko na mkumbo. Sijui vijana tunawazaga nini kuhusu haya madawa ya kulevya mi ningependa vijana tujikusanye makundi labda hili tatizo la ajira lisiwe kisingizio basi tunashindwa hata kutengeneza viwanda vidogo vidogo. Pili vijana wengi wabinafsi wanajiangalia wao kwanza wanataka wanufaike wakiwa wao wenyewe umoja siku zote ni nguvu

    JibuFuta