inspire

inspire

Lebo

AFYA (8) AJIRA (5) BIASHARA (39) ELIMU (14) MAHUSIANO (2) MALEZI (16) MAZINGIRA (12) SAIKOLOJIA (48) VIJANA (7)

Business registration

Green Consulting

business consultancy

business consultancy

Business consulting-2

Business consulting-2

Professional Consulting

PDC

Swahili translator

Swahili translator

TANGAZO-KITABU

E-BOOK: MTAZAMO WAKO NI UPI?

TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- .... TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- ....

TANGAZO TUWEZESHANE

TANGAZO TUWEZESHANE

DARDY'S INVST-20/10/2017

DUNIA IKUONE

DUNIA IKUONE

Alhamisi, 6 Juni 2013

AFYA: HII INATOKEA NCHINI UGIRIKI! WATUMIAJI MADAWA YA KULEVYA WAJIAMBUKIZA VIRUSI VYA UKIMWI(HIV) KWA MAKUSUDI KUPATA "EURO 700"(milioni 1.5 za Kitanzania) KWA MWEZI!

Habari za mshtuko zimetolewa jana na kuleta taharuki nchini Ugiriki na ulimwengu kwa ujumla.

Picha kutoka: http://www.happensingreece.com
Ikiwa ni maandalizi ya mkutano mkuu kuhusu ugonjwa wa Ukimwi (AIDS) utakaofanyika 
Novemba 25-27 mjini Athens-Ugiriki, Mkurugenzi wa 3 katika kitengo cha ndani cha Msalaba Mwekundu M.Lazanas amesema kuwa;  

"watumiaji wengi wa madawa ya kulevya wanasaka kwa jitihada kujiambukiza virusi vya Ukimwi ili waweze kuingia kwenye mpango wa serikali wa kulipwa "euro 700" ni sawa (Sh.1,499,409.45 za Kitanzania) kama posho ya kila mwezi kwa waathirika wa Ukimwi.
Kumekuwa na maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi(HIV) hasa kwa watumiaji wa madawa ya kulevya.Sababu kubwa ni kutumia sindano zilitumika kujidunga na kupitia ngono zembe.

Wakati huo huo, tumegundua kuwa watu wenye maisha duni, kutokana na uchumi mbovu wameingia katika mkumbo huu ili wapate Euro 700..."

Vipi hii ikitokea Tanzania, serikali itangaze kulipa waathirika wa Ukimwi hizo sh.milioni 1.5? Toa maoni kupitia ukurasa wetu wa facebook;

jielimishe.kwanza@facebool.com


Imetolewa na Jielimishe Kwanza!
Kwa msaada wa  
http://www.happensingreece.com









Hakuna maoni:

Chapisha Maoni