inspire

inspire

Lebo

AFYA (8) AJIRA (5) BIASHARA (39) ELIMU (14) MAHUSIANO (2) MALEZI (16) MAZINGIRA (12) SAIKOLOJIA (48) VIJANA (7)

Business registration

Green Consulting

business consultancy

business consultancy

Business consulting-2

Business consulting-2

Professional Consulting

PDC

Swahili translator

Swahili translator

TANGAZO-KITABU

E-BOOK: MTAZAMO WAKO NI UPI?

TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- .... TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- ....

TANGAZO TUWEZESHANE

TANGAZO TUWEZESHANE

DARDY'S INVST-20/10/2017

DUNIA IKUONE

DUNIA IKUONE

Jumatatu, 1 Julai 2013

HABARI MUHIMU: RAIS OBAMA AWASILI NCHINI TANZANIA...


 
Rais wa Marekani Barack Obama na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.Jakaya Mrisho Kikwete wakiwasalimu wananchi mara tu alipowasili uwanja wa ndege wa Kimataifa Julius Nyerere.(Picha na laprincessaworld.blogspot.com)


-->
Rais wa Marekani Barack Obama akiongea na waandishi wa Habari wageni na wenyeji katika viwanja vya Ikulu ya Tanzania.                          (Picha na www.adn.com)




Obama azindua mradi mpya ujulikanao kama “Trade Africa” katika ziara yake nchini Tanzania ambao utazihusisha nchi za ukanda wa Afrika Mashariki zenye jumla ya watu milioni 130.Mradi huo unatarajiwa kuwa endelevu, Ikulu ya Marekani-“White House” imesema.

Suala la usafirishaji wanyamapori na kuhifadhi viumbe kama tembo na faru lilipewa uzito wa juu na kusainishana mkataba kusaidia kutatua tatizo hilo.Washington itatoa kiwango kingine cha dola milioni 10 za Kimarekani kwa kuhifadhi viumbe. Ikulu ya Marekani-“White House” imesema.

Chanzo cha Habari: 
http://www.reuters.com/article/2013/07/01/us-obama-tanzania-idUSBRE9600IU20130701

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni