inspire

inspire

Lebo

AFYA (8) AJIRA (5) BIASHARA (39) ELIMU (14) MAHUSIANO (2) MALEZI (16) MAZINGIRA (12) SAIKOLOJIA (48) VIJANA (7)

Business registration

Green Consulting

business consultancy

business consultancy

Business consulting-2

Business consulting-2

Professional Consulting

PDC

Swahili translator

Swahili translator

TANGAZO-KITABU

E-BOOK: MTAZAMO WAKO NI UPI?

TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- .... TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- ....

TANGAZO TUWEZESHANE

TANGAZO TUWEZESHANE

DARDY'S INVST-20/10/2017

DUNIA IKUONE

DUNIA IKUONE

Jumapili, 1 Septemba 2013

HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA KATIKA TAMASHA LA "ELIMU EXPO" JIJINI DAR ES SALAAM CHINI YA UDHAMINI WA VODACOM FOUNDATION



"Elimu Expo" ni tamasha liliandaliwa na Elimu Solution na Masoko chini ya udhamini wa Vodacom Foundation kwa lengo la kuwashirikisha wadau wote wa elimu ili kuchukua hatua ya kuboresha kiwango cha elimu nchini ambacho ni sawa na jahazi linalotaka kuzama kabisa.
Tamasha hilo lilichukua siku tatu kuanzia tarehe 30 Agosti hadi 1 Septemba 2013 mgeni rasmi akiwa Naibu Waziri wa Elimu Mhe.Philipho Augustino Mulugo (MB).  
Kulikuwa na mabanda ya kampuni mbali mbali zenye kutoa mchango kwa elimu na kutoa mustakabali wa elimu nchini Tanzania.
Jicho la blog yetu Jielimishe Kwanza! lilitua moja kwa moja kwenye banda la Kampuni ya "Samsung"  na "Vodacom" kujionea mfumo kwa kisasa wa kufundishia ulio sanjari na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) waliouita "Samsung Smart School."





  • Muwezeshaji kutoka "Samsung" akitoa maelekezo ya mfumo wa utendaji wa "Samsung Smart School"




Ilikuwa ni bahati pia kwa kuwa Naibu Waziri wa Elimu Mhe.Philipho Augustino Mulugo (MB) aliweza kujionea mwenyewe jinsi Teknolojia inavyoweza kuboresha mfumo wa ufundishaji nchini. 

 


  •  Naibu Waziri wa Elimu Mhe.Philipho Mulugo (MB) akifafanuliwa jambo kuhusu mfumo wa utendaji wa"Samsung Smart School"


Jielimishe Kwanza! inaomba kutoa rai kwa wadau wote wa elimu (yaani mimi na wewe) kutazama mfumo wetu wa elimu kwa jicho lingine lenye kuendana na mabadiliko na kukua kwa Sayansi na Teknolojia.
Hatupaswi kuuogopa mfumo huu mpya wa kujifunzia kwa sababu unakwenda kuboresha mfumo wetu wa elimu kama tutaigundua siri yake.
Sasa umefika wakati wa "kutenda zaidi na kwa ubora kwa jitihada ndogo" na si "kutumia jitihada kubwa kwa kazi ndogo isiyo na ubora."
Imetolewa na
Jielimishe Kwanza!


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni