inspire

inspire

Lebo

AFYA (8) AJIRA (5) BIASHARA (39) ELIMU (14) MAHUSIANO (2) MALEZI (16) MAZINGIRA (12) SAIKOLOJIA (48) VIJANA (7)

Business registration

Green Consulting

business consultancy

business consultancy

Business consulting-2

Business consulting-2

Professional Consulting

PDC

Swahili translator

Swahili translator

TANGAZO-KITABU

E-BOOK: MTAZAMO WAKO NI UPI?

TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- .... TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- ....

TANGAZO TUWEZESHANE

TANGAZO TUWEZESHANE

DARDY'S INVST-20/10/2017

DUNIA IKUONE

DUNIA IKUONE

Jumatatu, 12 Januari 2015

MTAZAMO: KUWA MAKINI! KUMKABIDHI MTU MWINGINE SIRI YAKO NZITO UNAWEZA KUPOTEZA UHURU WAKO KAMA IFUATAVYO:

1.Utakuwa tayari kupokea kila sharti utakalopewa na huyo mlinzi wa SIRI yako.
2. Wakati wote utaishi kwa mashaka mashaka.Utahisi: labda SIRI ataivujisha nini? Vipi SIRI ikivuja itakuwaje? Nitaweka wapi uso wangu?
3.Hofu itatawala, kila umuonapo mlinzi wa SIRI yako.Utahisi: labda anataka kusema kitu fulani kuhusiana na SIRI yangu nini?
4.Utajikuta ukitumia pesa kinyume na utaratibu ili kuilinda SIRI isivuje.Mlinzi wa SIRI yako asikohoe kidogo tu kuhusu shida ya pesa, utampatia!…utahisi kuwa usipompatia atavujisha SIRI.
5.Utakuwa mtumwa tu! hasa ukimwona mlinzi wa SIRI yako akiwa na rafiki zako wa karibu wakijadili jambo na kucheka  ukitazama. (Ilihali wana mambo yao mengine tu) Utahisi: Ameshawaambia SIRI yangu…
Kuhusu SIRI, msemo huu wa Kiswahili unatawala-
“Hakuna SIRI ya watu wawili”.
Pia hatupaswi kutawaliwa na hisia kupita kiasi!
Kwa wale wasioweza kukaa na SIRI zao-wanaona zinawawasha, tuungane siku kama ya leo ili nikujuze njia sahihi ya kumweleza mtu mwingine SIRI yako na usipatwe na hayo 5 niliyoyaainisha.
Imetolewa na
Jielimishe Kwanza!

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni