inspire

inspire

Lebo

AFYA (8) AJIRA (5) BIASHARA (39) ELIMU (14) MAHUSIANO (2) MALEZI (16) MAZINGIRA (12) SAIKOLOJIA (48) VIJANA (7)

Business registration

Green Consulting

business consultancy

business consultancy

Business consulting-2

Business consulting-2

Professional Consulting

PDC

Swahili translator

Swahili translator

TANGAZO-KITABU

E-BOOK: MTAZAMO WAKO NI UPI?

TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- .... TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- ....

TANGAZO TUWEZESHANE

TANGAZO TUWEZESHANE

DARDY'S INVST-20/10/2017

DUNIA IKUONE

DUNIA IKUONE

Alhamisi, 30 Mei 2013

MICHEZO: MJAPANI MWENYE UMRI WA MIAKA (80) AVUNJA REKODI YA KUKWEA KILELE CHA MLIMA MREFU DUNIANI-MLIMA EVEREST!




PICHA:Yuichiro Miura,(80):www.outsideonline.com
Mlima Everest, urefu mita 8,848:Picha imetolewa: www.guardian.co.uk
Mpandaji milima Yuichiro Miura, 80, amefanikiwa kufika kilele cha mlima Everest [Mei 23 2013], na kuwa mzee kikongwe wa kwanza duniani kupanda mlima huo mrefu kuliko yote duniani.Hili ni jaribio lake la tatu la kukwea mlima huo, jaribio hilo lenye mafanikio kwake lilihitaji uvumilivu na jitihada ya pekee, 


bila kujali umri wake na uwezo wa afya yake aliamua kujitoa mhanga.

Akielezea changamoto alizopata katika kukwea mlima licha ya uzee wake,kikongwe huyo alisema, "ilikuwa ni changamoto ya aina yake kukifikia kilele cha mlima" "Imekuwa hivi kama heshima kubwa kwa asili ya Mama"alisema hayo kupitia mtandao wake"Akitumaini kuongeza hata chembe ya kuishi."

Miura hakufanikiwa katika jaribio lake la kwanza la kufika juu ya mlima Everest hadi mwaka 2003, akiwa na umri wa miaka 70. Alifanikiwa kutembea umbali mrefu akiwa na mtoto wake, na kujiwekea rekodi ya mtu mzee duniani kupanda mlima.

Habari hii ya kikongwe Miura iwe funzo kwetu tulio na nguvu na damu yenye kuchemka.Vipi tumejiwekea malengo? je kuna jitihada yoyote tunayofanya kuyafikia malengo? au tunabaki kila siku kusema"One day yes! au Kama Mungu akipenda..." na hali tukiwa tumebweteka na vile vidogo 
tulivyo navyo?
 

Imetolewa na 

Jielimishe Kwanza!


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni