inspire

inspire

Lebo

AFYA (8) AJIRA (5) BIASHARA (39) ELIMU (14) MAHUSIANO (2) MALEZI (16) MAZINGIRA (12) SAIKOLOJIA (48) VIJANA (7)

Business registration

Green Consulting

business consultancy

business consultancy

Business consulting-2

Business consulting-2

Professional Consulting

PDC

Swahili translator

Swahili translator

TANGAZO-KITABU

E-BOOK: MTAZAMO WAKO NI UPI?

TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- .... TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- ....

TANGAZO TUWEZESHANE

TANGAZO TUWEZESHANE

DARDY'S INVST-20/10/2017

DUNIA IKUONE

DUNIA IKUONE

Jumatano, 22 Mei 2013

HABARI MUHIMU: Ziara ya Rais Obama nchini Tanzania,Afrika Kusini na Senegali...


Jarida maarufu la habari nchini Marekani-“Fox News” la tarehe 20 Mei 2013 limeripoti kuwa raisi wa Marekani-Barack Obama anataraji kuzitembelea nchi za kusini mwa jangwa la Sahara. Ziara hiyo muhimu itahusisha nchi tatu za Afrika; Afrika Kusini, Senegali na Tanzania.

Picha::www.letemps.blogs.com
Taarifa kutoka Ikulu ya Marekani “White House” inasema kuwa raisi Obama na mkewe Michelle Obama wataondoka Marekani tarehe 26 Juni 2013 kuelekea Senegali, Afrika kusini na mwisho Tanzania. 

Obama anatarajia kuonana na viongozi wakubwa wa nchi hizo, ikiwemo viongozi wa makampuni ya biashara, mashirika ya kijamii na jumuiya mbali mbali za vijana.

Utawala wa “White House” umeeleza kuwa ziara hii ya Obama ni chachu ya  mahusiano muhimu na yenye ukaribu  kati ya Marekani na nchi za kusini mwa jangwa la Sahara.
__________________________________________________________________

Sambamba na ujio huu mzito kwa Tanzania,Afrika Kusini na Senegali kumekuwa na manung'uniko mbali mbali hasa kwa nchi za jirani na Tanzania, eti kuwa -kwanini Tanzania? Ndugu msomaji naomba nawe ujiulize ni kwa nini? kwa nini si Kenya au Uganda au Rwanda au Burundi? 

SOMA ZAIDI:

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni