inspire

inspire

Lebo

AFYA (8) AJIRA (5) BIASHARA (39) ELIMU (14) MAHUSIANO (2) MALEZI (16) MAZINGIRA (12) SAIKOLOJIA (48) VIJANA (7)

Business registration

Green Consulting

business consultancy

business consultancy

Business consulting-2

Business consulting-2

Professional Consulting

PDC

Swahili translator

Swahili translator

TANGAZO-KITABU

E-BOOK: MTAZAMO WAKO NI UPI?

TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- .... TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- ....

TANGAZO TUWEZESHANE

TANGAZO TUWEZESHANE

DARDY'S INVST-20/10/2017

DUNIA IKUONE

DUNIA IKUONE

Jumanne, 4 Juni 2013

BIASHARA: UMEWAHI KUJIULIZA? KWA NINI WATEJA WANANUNUA BIDHAA AU WANAHITAJI HUDUMA YAKO?


Picha imetolewa kutoka:www.internetmoola.com

Wafanyabiashara wengi, wadogo kwa wakubwa wamekuwa na mazoea ya kujiuliza "kwa nini wateja hawanunui au kwa nini wateja hawatumii huduma yangu?"

Wakifanikiwa kutengeneza faida na kukuza soko la biashara, hujisahau kabisa kutazama mbinu au viashiria vya kuongezeka kwa faida na kukua kwa biashara zao.

Hapa namaanisha, hushindwa kujiuliza kwa nini wateja wao au watumiaji wa huduma zao wanajaa/kumiminika eneo la biashara  au kuhitaji huduma kwa wingi.

Swali hili ni la msingi sana kama unataka wateja wako waendelee kujaa na kuhitaji huduma yako kwa wingi.

Hivyo basi, ukifahamu viashiria vya kukua kwa soko lako na kuongezeka kwa faida;
1) utaweza kuwatunza wateja wako kwa muda mrefu bila kuhamia sehemu nyingine
2)  utaendelea kuboresha na kuhifadhi viashiria hivyo
3)utafanikiwa kukuza soko zaidi na kupata faida maradufu.

MFANO HALISI :
Kuna mgawaha maarufu sana, walaji wengi hupendelea kwenda kula.Ni sehemu nzuri sana, huduma nzuri sana, pia kuna sehemu ya kuegesha magari kwa ajili ya wateja.

Mmiliki alishangazwa kuona wateja wakiendelea kujaa siku hadi siku, wakati huo huo faida ikiongezeka maradufu.

Unajua nini alichofanya mmliki huyo wa mgahawa?...kwa kutokujua kwa nini wateja wanajaa kwenye mgahawa wake, aliamua kupanua eneo la biashara kwa kuondoa sehemu ya kuegesha magari...Bashiri, nini kilitokea baada ya hapo...

Tuma maoni yako: 
Jifunze,Fahamu, Fanya!

Imetolewa na 
Jielimishe Kwanza!


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni