inspire

inspire

Lebo

AFYA (8) AJIRA (5) BIASHARA (39) ELIMU (14) MAHUSIANO (2) MALEZI (16) MAZINGIRA (12) SAIKOLOJIA (48) VIJANA (7)

Business registration

Green Consulting

business consultancy

business consultancy

Business consulting-2

Business consulting-2

Professional Consulting

PDC

Swahili translator

Swahili translator

TANGAZO-KITABU

E-BOOK: MTAZAMO WAKO NI UPI?

TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- .... TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- ....

TANGAZO TUWEZESHANE

TANGAZO TUWEZESHANE

DARDY'S INVST-20/10/2017

DUNIA IKUONE

DUNIA IKUONE

Jumatatu, 8 Julai 2013

MALEZI NA ELIMU: UKITAKA MTOTO WAKO ASHINDE MITIHANI FANYA HIVI…

-->
Mzazi au mlezi una mchango mkubwa kumfanya mtoto wako awe kinara katika mitihani mbali mbali inayotolewa shuleni.


Tukiondoa juhudi za walimu, uwezo wa mtoto kitaaluma huanza kujengwa kuanzia nyumbani hasa katika ngazi ya chini kabisa kwa kumuandaa mtoto kupenda kujisomea.


Wakati huo huo mzazi unatakiwa kuweka mkazo juu ya zoezi zima la kujisomea na kulifanya kuwa ni sehemu ya utaratibu wa kila siku nyumbani. Hii haijalishi kama hukusoma, ila jitahidi kulisimamia zoezi hili kikamilifu ukijifunza kwa wazazi wengine waliosoma.


Sambamba na zoezi hilo unatakiwa kufanya hivi:


1. Mpangie utaratibu wa kusoma kitabu kimoja na kuwasilisha taarifa ya maandishi na atoe maelezo yake mwisho wa wiki.


2.Mfanye mtoto ajitambue kuwa anaweza kujiongoza.Pia tambua na thamini uwezo wake.Hii itamuongezea  hali kujiamini na kumjengea hali ya uthubutu wenye tija.


3.Mpongeze mwanao anapoonyesha mafanikio au kubadilika tabia.Unaweza kutoa zawadi zinaweza kuchochea tabia njema kulingana na uwezo wako kifedha.Hakikisha kuwa zawadi unayotoa isiwe tafsili kuwa amefanya vizuri kukufurahisha mzazi ila imjenge kuwa ni kwa manufaa yake.


4.Shirikiana bega kwa bega na walimu kwa kujua maendeleo ya mtoto wako kitaaluma. Hili si la kupuuza hata kidogo! Usishirikiane na mtoto wako kumshambulia mwalimu… shirikiana na mwalimu kumuongoza mtoto wako katika njia ifaayo.


5.Kemea tabia ya kuangalia Televisheni, filamu na intaneti kwa mambo yasimjenga kitaaluma.Hamasisha kuangalia vipindi vya kitaaluma.
Kuna mbinu nyingine nyingi zilizo halali unazoweza kufanya kumsaidia mtoto wako kufaulu mitihani yake.
Tuwasiliane, tutajulishana.
Imetolewa na
Jielimishe Kwanza!


Hakuna maoni:

Chapisha Maoni