inspire

inspire

Lebo

AFYA (8) AJIRA (5) BIASHARA (39) ELIMU (14) MAHUSIANO (2) MALEZI (16) MAZINGIRA (12) SAIKOLOJIA (48) VIJANA (7)

Business registration

Green Consulting

business consultancy

business consultancy

Business consulting-2

Business consulting-2

Professional Consulting

PDC

Swahili translator

Swahili translator

TANGAZO-KITABU

E-BOOK: MTAZAMO WAKO NI UPI?

TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- .... TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- ....

TANGAZO TUWEZESHANE

TANGAZO TUWEZESHANE

DARDY'S INVST-20/10/2017

DUNIA IKUONE

DUNIA IKUONE

Jumamosi, 23 Novemba 2013

AFYA: KUCHEMUA/KUPIGA CHAFYA, KUKOHOA KWA KUTHAMINI AFYA YA WENGINE

--> -->
K
atika kufuatilia kwa ukaribu tabia na mazoea ya watu mbalimbali jijini Dar es salaam kwa suala linalohusu afya, Jielimishe Kwanza! imegundua na kusikitishwa kuona watu wengi huchemua/hupiga chafya bila kutumia kitambaa safi ili kuwakinga wengine dhidi ya maambukizi ya magonjwa yasambaayo kwa hewa kama mafua na kifua kikuu.
Naomba radhi kwa maneno makali nitakayoyatumia…ni kwa lengo zuri tu la kukumbushana na kuelimishana!
Wapo wanaotumia mikono yao kuzuia kusambaa kwa mate na makohozi au kushika pua kutoa kamasi na mara tu wakimaliza hutumia mkono kusalimiana na wengine…kwa kweli hii si nzuri kiafya.
Sambamba na kuchemua na kukohoa, wapo watu wengine hutema makohozi, mate hovyo bila kuzingatia kuwa kuna mtu/watu jirani yake.Kiuhalisia, tabia hii si nzuri kiafya na mazingira kwa ujumla.
Si lazima kwenda shule sana ndipo ijulikane kuwa kutumia kitambaa safi kufunika pua na mdomo ni muhimu kwa afya…utajisikiaje kuona mtu mwingine akikurushia mate/makohozi usoni kwa chafya? Ikiwa hatupendi kufanyiwa hivyo, tusiwafanyie wengine. Hili ni suala la uelewa tu, halihitaji kuwa na shahada.
Picha na news.discovery.com
Ikiwa una mazoea tajwa naomba uchukue hatua ya kubadika na kuwahamasisha wengine kubadilika.
Jali afya ya wengine kama unavyojijali, Punguza kuenea kwa magonjwa yanayoenezwa kwa hewa.

Imetolewa na
Jielimishe Kwanza!

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni