inspire

inspire

Lebo

AFYA (8) AJIRA (5) BIASHARA (39) ELIMU (14) MAHUSIANO (2) MALEZI (16) MAZINGIRA (12) SAIKOLOJIA (48) VIJANA (7)

Business registration

Green Consulting

business consultancy

business consultancy

Business consulting-2

Business consulting-2

Professional Consulting

PDC

Swahili translator

Swahili translator

TANGAZO-KITABU

E-BOOK: MTAZAMO WAKO NI UPI?

TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- .... TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- ....

TANGAZO TUWEZESHANE

TANGAZO TUWEZESHANE

DARDY'S INVST-20/10/2017

DUNIA IKUONE

DUNIA IKUONE

Jumanne, 27 Agosti 2013

VIJANA KATIKA VIKUNDI: KIKUNDI KINACHOUNDWA NA WAHITIMU WA SHULE YA SEKONDARI LUGALO IRINGA 2001 TANZANIA CHATEMBELEA KITUO CHA WATOTO YATIMA “CHAKUWAMA”

-->
Katika kuadhimisha sherehe ya kutumiza mwaka 1 siku ya Jumapili 25 Agosti 2013 kikundi hicho kijulikanacho kwa jina la “LUGALO GRADUATES’ NETWORK ASSOCIATION -2001” kilichoundwa na vijana waliosoma Shule ya sekondari Lugalo Iringa- Tanzania kilionelea ni vyema kuwajibika katika kutoa mchango kwa jamii ikiwa ni sehemu mojawapo ya malengo ya kikundi.
Kikundi hicho chenye wanachama hai 18 chini ya uongozi wa Mwenyekiti-
Henry Kazula kiliweza kutimiza adhma hiyo kwa kuwatembelea na kutoa msaada wa vifaa vya matumizi ya kawaida vyenye thamani (shilingi laki moja) sh.100,000 kwa watoto yatima wa kituo kiijulikanacho kwa jina la CHAKUWAMA kilichopo Sinza-Meeda jijini Dar es salaam.
Wakiongea na Jielimishe Kwanza! wanakikundi hao walieleza kuwa lengo kuu la msaada huo ni kushiriki kwa pamoja na kikamilifu kwa mali na hali katika shughuli za kijamii kwa kile wanachokikusanya kutokana na michango yao ya kila mwezi.
Pia walisema wamefanya hivyo kuweza kutoa changamoto kwa wanajamii wengine kujitoa kwa hali na mali kusaidia watoto yatima na si kusubiri hadi watu watoke nje ya nchi kutoa misaada.
Hii ni kutokana na matatizo kadha wa kadha ndani ya vituo vya kulea watoto yatima ikiwa ni huduma mbovu za afya,ufinyu wa malazi na ukosefu wa wataalamu wa kuwafundisha watoto hao malezi bora na stadi za maisha.
Wakiungana kwa pamoja na Jielimishe Kwanza! wanatoa rai kwa jamii kulivalia suala hili njuga ili kuijenga jamii ijayo yenye maadili na tija kwa Taifa.
Walitoa angalizo kuwa kutowajali na kuwapuuza watoto na vijana waishio katika mazingira magumu kunaandaa jamii/kundi hatari sana kwa Taifa hapo baadaye.
Wasiliana na kikundi hicho kupitia 0785 175 157 au andika kupitia jielimishekwanza@gmail.com
Imetolewa na
Jielimishe Kwanza!