inspire

inspire

Lebo

AFYA (8) AJIRA (5) BIASHARA (39) ELIMU (14) MAHUSIANO (2) MALEZI (16) MAZINGIRA (12) SAIKOLOJIA (48) VIJANA (7)

Business registration

Green Consulting

business consultancy

business consultancy

Business consulting-2

Business consulting-2

Professional Consulting

PDC

Swahili translator

Swahili translator

TANGAZO-KITABU

E-BOOK: MTAZAMO WAKO NI UPI?

TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- .... TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- ....

TANGAZO TUWEZESHANE

TANGAZO TUWEZESHANE

DARDY'S INVST-20/10/2017

DUNIA IKUONE

DUNIA IKUONE

Jumamosi, 24 Agosti 2013

VIJANA NA MTAZAMO: MTAZAMO HUU UTAKUFANYA UFE MASIKINI…BADILI MTAZAMO!

-->
Picha na http://madonnarobinson.com
Bila shaka umewahi kusikia vijana wengi wakisema hivi “umri bado unaruhusu” au “mimi bado mdogo” kuhusiana na suala zima la maisha ya kujitegemea na hata uthubutu wa kuelekea kwenye uwekezaji pia kuwa na mali.
Nikilinganisha mtazamo huo na misemo ya Kiswahili kama “Chelewa chelewa utakuta mwana si wako” na “ujana maji ya moto” yenye mantiki ya kuchukua hatua mapema bila kujali hali ya umri ulionao au maisha yaliyopo naona kuna haja ya kubadilisha mtazamo.
Sanjali na hilo pia kuna msemo huu wa Kiingereza uliozoeleka sana midomoni mwa watu- “Life is not a rehearsal, is a performance” ni ukweli usiopingika kuwa tunatakiwa kuonyesha kiuhalisia jinsi tunavyoishi na si kujaribu au kuigiza.Natumaini umejua namaanisha nini? 
Hivyo basi tunatakiwa kuchukua hatua ya uthubutu wenye tija-SOMA HII http://jielimishekwanza.blogspot.com/2013/06/vijana-na-maisha.html ili kujinasua hapo tulipo na si kunung'unika huku tukisubiri tuzeeke na kutumainia malipo ya uzeeni…wakati wa kuwekeza ni sasa kwa sababu tuna nguvu, ari na akili inafanya kazi kwa haraka.
Fanya mabadiliko sasa kupunguza tatizo la utegemezi ndani ya familia na jamii kwa ujumla.
Vijana Taifa la Leo na Kesho!
Imetolewa na
Jielimishe Kwanza!