inspire

inspire

Lebo

AFYA (8) AJIRA (5) BIASHARA (39) ELIMU (14) MAHUSIANO (2) MALEZI (16) MAZINGIRA (12) SAIKOLOJIA (48) VIJANA (7)

Business registration

Green Consulting

business consultancy

business consultancy

Business consulting-2

Business consulting-2

Professional Consulting

PDC

Swahili translator

Swahili translator

TANGAZO-KITABU

E-BOOK: MTAZAMO WAKO NI UPI?

TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- .... TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- ....

TANGAZO TUWEZESHANE

TANGAZO TUWEZESHANE

DARDY'S INVST-20/10/2017

DUNIA IKUONE

DUNIA IKUONE

Jumapili, 18 Agosti 2013

HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA KATIKA UTOAJI WA TUZO KWA VIJANA CHINI YA MIAKA 30 “Under -30 Youth Awards 2013” WALIOFANYA VIZURI KATIKA NYANJA MBALIMBALI ZA KUTOA MCHANGO KWA JAMII.

-->
Jumamosi-Agosti 17, 2013 ilikuwa ni kilele cha siku ya kutunuku tuzo kwa vijana kama ilivyokuwa imepangwa na “Youth for Africa (YOA)” ikishirikiana na wadhamini mbali mbali.Soma undani wa maandalizi hadi kuifikia siku hii kupitia http://jielimishekwanza.blogspot.com/2013/07/zoezi-la-kutunuku-tuzo-kwa-vijana-chini.html
Ilikuwa ni siku nzuri iliyogubikwa na shamra shamra, burudani zenye kuhamasisha vijana wengine na jamii kwa ujumla kuhusu kutumia vipaji na uwezo binafsi kuwa na uthubutu kugusa maisha ya wengine.Ikiwa ni sanjari na kauli mbiu ya YOA –“Born talented living to do it.” Naweza kuongezea kwa kusema…and influence other talented to do it!
Mgeni rasmi wa tukio hilo Mhe. Januari Makamba(MB) aliwaamasisha vijana kuhusu kusoma vitabu ili kujiongezea uwezo na kuboresha mtazamo wa kufikiri na kubuni mbinu mbali mbali kupambana na changamoto za maisha.Kwa kuzingatia umuhimu wa kusoma vitabu, Jielimishe Kwanza! imeliona hilo mapema na kutoa njia mbali mbali za kufanikisha kujisomea.Ukitaka kujua umuhimu na siri iliyopo ndani ya vitabu soma hii: http://jielimishekwanza.blogspot.com/2013/07/ifahamu-siri-iliyopo-ndani-ya-vitabu.html?spref=bl  na pia jinsi ya kuanza kusoma kitabu kwa mafanikio soma hii http://jielimishekwanza.blogspot.com/2013/07/elimu-na-mtazamo-mbinu-10-za-kuanza.html.
Naomba kutoa rai kwa wazazi kuanza kuwajengea uwezo watoto wao kujisomea vitabu...soma hii zaidihttp://jielimishekwanza.blogspot.com/2013/07/elimu-na-malezi-mjengee-mtoto-wako.html
Pia Mhe.Januari Makamba(MB) alitoa pongezi kwa Asasi isiyo ya kiserikali -YOA http://www.yoa.or.tz/ ikishirikiana na wadhamini mbali mbali kwa kutambua uwepo wa vipaji na kuandaa tukio hilo kubwa.
Tuzo hizo zitakuwa zikitolewa kila mwaka kwa kuzingatia maboresho zaidi ili ziwe na tija zaidi hasa kuwahamasisha vijana wa Kitanzania na Afrika kwa ujumla kubadili mtazamo wa kufikiri kwa kuijenga Afrika huru.
MATUKIO KATIKA PICHA:


Timu nzima ya YOA wakiwa na Mhe.Januari Makamba (MB).