inspire

inspire

Lebo

AFYA (8) AJIRA (5) BIASHARA (39) ELIMU (14) MAHUSIANO (2) MALEZI (16) MAZINGIRA (12) SAIKOLOJIA (48) VIJANA (7)

Business registration

Green Consulting

business consultancy

business consultancy

Business consulting-2

Business consulting-2

Professional Consulting

PDC

Swahili translator

Swahili translator

TANGAZO-KITABU

E-BOOK: MTAZAMO WAKO NI UPI?

TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- .... TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- ....

TANGAZO TUWEZESHANE

TANGAZO TUWEZESHANE

DARDY'S INVST-20/10/2017

DUNIA IKUONE

DUNIA IKUONE

Jumatatu, 30 Septemba 2013

MAZINGIRA: USIMAMIZI WA SHERIA ZA USAFI WA MAZINGIRA NA CHANGAMOTO ZAKE

-->
Kumekuwepo na jitihada kutoka Halmashauri mbali mbali jijini Dar es salaam katika suala zima la usimamiwaji wa sheria ndogo za usafi wa mazingira.

Jitihada hizo zote zimekuwa zikigonga mwamba kutokana na ushirikiano hafifu kutoka kwa wananchi. Hii inaonyesha kuwa uelewa wa wananchi ni mdogo kuhusu umuhimu wa sheria ndogo zinazowekwa kuhusu utunzaji wa mazingira.Pia usimamizi wa sheria hizo ni hafifu.

Tunathibitisha ukweli wa jambo hili kutokana na hali halisi ilivyo katika eneo lililopo pembezoni mwa barabara ya Ali Hassani Mwinyi jijini Dar es salaam kama lilivyotembelewa na Jielimishe Kwanza! kwa mara nyingine.

Picha kama ilivyotolewa kwenye taarifa ya awali: http://jielimishekwanza.blogspot.com/2013/09/mazingira-juhudi-na-changamoto-za.html

Itambulike kuwa eneo hili ni la mfano kwetu ili iwe changamoto kwa maeneo mengine nchini!
Imetolewa na 
Jielimishe Kwanza!

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni