inspire

inspire

Lebo

AFYA (8) AJIRA (5) BIASHARA (39) ELIMU (14) MAHUSIANO (2) MALEZI (16) MAZINGIRA (12) SAIKOLOJIA (48) VIJANA (7)

Business registration

Green Consulting

business consultancy

business consultancy

Business consulting-2

Business consulting-2

Professional Consulting

PDC

Swahili translator

Swahili translator

TANGAZO-KITABU

E-BOOK: MTAZAMO WAKO NI UPI?

TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- .... TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- ....

TANGAZO TUWEZESHANE

TANGAZO TUWEZESHANE

DARDY'S INVST-20/10/2017

DUNIA IKUONE

DUNIA IKUONE

Jumatatu, 16 Desemba 2013

MTAZAMO: HIVI NDIVYO UHURU WAKO UNAVYOWEZA KUTEKWA

-->
Jielimishe Kwanza wanapoamua kukuelimisha kuhusu uhuru hawamaanishi wa nchi au Taifa ila ni ule uhuru wa mtu binafsi.Hii inamaanisha kuwa uhuru wa Taifa kwa ujumla wake unaanzia na mtu mmoja.
Picha na www.freedomideas.com
Nikimnukuu Mkurugenzi wa Jielimishe Kwanza! Henry Kazula katika moja ya mafunzo yake aliwahi kusema; "Mtu mmoja hawezi kuleta mabadiliko yote katika dunia, lakini mabadiliko duniani huanzia na mtu mmoja".
Taifa linaweza kuwa huru lakini watu wake wanaweza wasiwe huru kimtazamo, kiakili, kiuchumi na kifikra.
Ndugu msomaji najua kwa haraka haraka unaweza usinielewe…soma makala hii ukiirudia tena.Naomba nikukumbushe moja ya makala zetu inayoelezea na kutoa suluhisho la jinsi ya kuepukana na utumwa wa kifikra http://jielimishekwanza.blogspot.com/2013/09/mtazamo-hivi-ndivyo-tunavyoweza.html
Pia nikulete moja kwa moja kwenye suala la jinsi uhuru wako unavyoweza kutekwa na mtu mwingine bila wewe kujua. Vifuatavyo ni baadhi ya viashiria vinavyozingatia mtazamo wa kisaikolojia;
  1.       Kupewa vitu au fedha bure
  2.     Kutumika kifedha na si fedha ikutumikie (working for money and not money working for you).
Ikiwa una kiashiria kingine, tuandikie kupitia barua pepe jielimishekwanza@gmail.com
Hamasika! Hamasisha Uhuru wa Kimtazamo, Kiakili, Kiuchumi na Kifikra. 
Usikubali mtu atawale Uhuru wako!
“I know but one freedom and that is the freedom of the mind.” ~Antoine de Saint-Exupery
Imetolewa na
Jielimishe Kwanza!

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni