inspire

inspire

Lebo

AFYA (8) AJIRA (5) BIASHARA (39) ELIMU (14) MAHUSIANO (2) MALEZI (16) MAZINGIRA (12) SAIKOLOJIA (48) VIJANA (7)

Business registration

Green Consulting

business consultancy

business consultancy

Business consulting-2

Business consulting-2

Professional Consulting

PDC

Swahili translator

Swahili translator

TANGAZO-KITABU

E-BOOK: MTAZAMO WAKO NI UPI?

TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- .... TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- ....

TANGAZO TUWEZESHANE

TANGAZO TUWEZESHANE

DARDY'S INVST-20/10/2017

DUNIA IKUONE

DUNIA IKUONE

Jumatano, 22 Oktoba 2014

BIASHARA: HIVI NDIVYO UNAVYOWEZA KUJENGA THAMANI YA UBORA KATIKA SOKO

-->

Ikiwa wewe ni mfuatiliaji wa makala zetu kuhusu biashara utaona kuwa tunasisitiza sana kuhusu kuboresha thamani ya ubora wa bidhaa ili kuliteka soko na pia kumshinda mpinzani wako katika kugombea soko.Soma zaidi




Sanjari na mtazamo thabiti wa kiuchumi kuwa; watu hulipwa kwa kupeleka thamani ya ubora kwenye soko ni dhahiri kabisa kuwa mtu hawezi kupata kipato halali pasipo kuleta thamani ya ubora katika soko.Katika lugha ya kiuchumi, soko ni watu.Hivyo, hakuna kipato halali kinachoweza kupatikana katika biashara yako kama huleti thamani ya ubora kwa watu; kutoa suluhisho la maumivu ya watu kwa maisha yao ya kila siku.
Kama ilivyo ada, wajasiriamali na wafanyabiashara hupaswa kutoa suluhisho la matatizo ya watu.Kuna kanuni (10) za msingi zinazopaswa kufuatwa kufikia kuleta suluhisho la matatizo pia kufikia lengo kuu na kujipatia kipato endelevu.Kanuni hizo ni;
1.    CHUNGUZA KWA MAKINI HUDUMA/BIDHAA ILIYOPO KABLA YA KULETA YAKO
2.    BORESHA MAPUNGUFU YA WENGINE, UPATE SEHEMU YA KUSIMAMIA
3. JIDHATITI KWA KUJITOFAUTISHA NA WAFANYABIASHARA WALIOPO UKIBORESHA UBORA ZAIDI
4.    HAKIKISHA HUTOI SIRI YA KUFANIKIWA KWAKO KATIKA SOKO
5.    JITENGENEZEE UPEKEE WA THAMANI YA UBORA KATIKA SOKO
6.    TENGENEZA WIGO WA SOKO LAKO NA USIMAMIE MSIMAMO WAKO
7.    WAKATI WOTE ANZA KUFIKIRIA KUHUSU WATEJA WAKO; WANAHITAJI NINI KWA WAKATI HUSIKA? NA SI UTAPATA NINI KWANZA KWA WAKATI HUSIKA:
8.    TENGENEZA MAHUSIANO MEMA NA WATEJA WAKO…ZINGATIA UHITAJI WAO
9.    FANYIA KAZI MAONI YA WATEJA WAKO KATIKA KUBORESHA UTHAMANI WA BIDHAA
10. HATA SIKU MOJA USISHUSHE BEI ZAIDI YA MPINZANI WAKO ILI UWAVUTE WATEJA KWAKO.
Tunakutakia kila la heri katika biashara yako.Ikiwa utahitaji ufafanuzi wa mbinu hizi (10), usisite kuwasiliana nasi:+255 754 572 143
             Imetolewa na

                                 Jielimishe Kwanza! SE

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni