inspire

inspire

Lebo

AFYA (8) AJIRA (5) BIASHARA (39) ELIMU (14) MAHUSIANO (2) MALEZI (16) MAZINGIRA (12) SAIKOLOJIA (48) VIJANA (7)

Business registration

Green Consulting

business consultancy

business consultancy

Business consulting-2

Business consulting-2

Professional Consulting

PDC

Swahili translator

Swahili translator

TANGAZO-KITABU

E-BOOK: MTAZAMO WAKO NI UPI?

TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- .... TANGAZO:Kitabu kipya. Kitabu! Kitabu!Kinauzwa Katika Maduka Ya Vitabu.Pia M-Pesa 0754 572 143, Tigo Pesa 0716 075 826.Ili Kikufikie Ulipo, Tafadhali Ongezea Sh.10,000/- ....

TANGAZO TUWEZESHANE

TANGAZO TUWEZESHANE

DARDY'S INVST-20/10/2017

DUNIA IKUONE

DUNIA IKUONE

Jumapili, 6 Oktoba 2013

BIASHARA: MJUE MPINZANI WAKO KATIKA BIASHARA…BORESHA UBORA NA THAMANI!


B
iashara hujumisha kuuza na kununua kwa lengo la kupata faida…kwa muuzaji na pia mnunuzi anafaidika kwa kupata thamani (kwa lugha ya Kiingereza hujulikana kama “value”) ya huduma au bidhaa aliyoilipia. Ifahamike kuwa mteja/mnunuzi huridhishwa na thamani-“value” ya huduma au bidhaa, hivyo kutoa pesa yake kununua/kulipia gharama ya bidhaa/huduma inayotoa/kuleta thamani kwake.
Hapa ndipo inapotumika kanuni rahisi ya Uchumi inayosema; watu hulipwa kwa kuleta uthamani katika soko “people get paid by bringing value to the market place”.Itambulike kuwa kuna njia mbali mbali ambazo mtu anaweza kulipwa kwa kuleta uthamani katika soko.Mfano: kupitia biashara na kuajiriwa.
Siku zote Wafanyabiashara wanaitumia sana kanuni hii ya “kulipwa kupitia uthamani na ubora wauletao katika soko” kwa kujua au kutokujua hasa kwa kujilinganisha na wapinzani wao wa biashara na kuboresha mapungufu au udhaifu wa wapinzani wao.
Ni vyema na ni wajibu kumjua mpinzani wako na kumfuatilia kwa ukaribu sana na si kumchukia, kumfanyia mizengwe au kumpotezea. Kuthibitisha hilo angalia mfano wa wapinzani hawa wa biashara jijini Dar es salaam nchini Tanzania...

Kila mmoja anamtumia mwenzie kwa lengo zuri la kuleta uthamani wa huduma aitoayo kwa mtumiaji/mteja.Mwisho wa yote ni kazi ya mtumiaji kuchagua.
Mtambue mpinzani wako, mfuatilie kwa umakini bila kuiga kila kitu anachofanya…wewe boresha ubora wa huduma/bidhaa yako utafanikiwa.
Pia soma hii http://jielimishekwanza.blogspot.com/2013/08/biashara-ukitaka-kujenga-biashara-imara.html    na

http://jielimishekwanza.blogspot.com/2013/06/biashara.html
Imetayarishwa na kutolewa na






Hakuna maoni:

Chapisha Maoni